Thursday Mar 04, 2021
JUMA JIPYA #03: Tuliza Moyo
Karibu kwenye episode nyingine ya Juma Jipya Edition ambapo Stephen Kaaya amejaribu kuku kumbusha kutuliza moyo kwa kukumbuka wewe ni binadamu na kupunguza mwendo. Tunapo hisi kama kuna uzito ndani, kama huwezi kuendelea, unapata hisia nyingi kwa wakati mmoja na unashindwa kuelewa ufanye nini, kama unajisikia kushindwa na kukata tama. Ni sawa, ni sawa kabisa, wewe ni binadamu na changamoto ni sehemu ya kukua, changamoto ni sehemu ya hatua zitazo kusaidia kusonga mbele. Inawezekana kuzitumia vizuri.
Comments (0)
To leave or reply to comments, please download free Podbean or
No Comments
To leave or reply to comments,
please download free Podbean App.